FREQUENTLY ASKED QUESTIONS

F.A.Q.

Available Services

Hapana, tuna huduma zingine kama: Meno,Mifupa,Matibabu ya watoto, Kiliniki ya figo, Kliniki ya ngozi,Kliniki ya macho na duka la miwani, Huduma za maabara,Matibabu ya akina mama na uzazi,Kliniki za watoto,Daktari wa magonjwa ya ndani,Huduma za utengamao
Ndio, ipo. Kuweka miadi piga 0699 990 002
Ndiyo inapatikana, kuweka miadi tupigie 0699 990 002
Wheelchair zetu unachangia gharama, lakini ni hadi uonane na mtaalamu wetu aweze kukupa ushauri aina ya wheelchair unayohitaji.
Hapana, tunapokea wagonjwa wote wenye uhitaji
CCBRT ni NGO ambayo inafanya kazi kwa ukaribu sana na Serikali
Ndio tunazo, zina ukubwa tofauti tofauti, karibu!

Doctors Available

Daktari wa watoto yupo kila siku
Ndio tunatoa hii huduma.
Ndiyo inapatikana, kuweka miadi tupigie 0699 990 002
Wheelchair zetu unachangia gharama, lakini ni hadi uonane na mtaalamu wetu aweze kukupa ushauri aina ya wheelchair unayohitaji.
Hapana, tunapokea wagonjwa wote wenye uhitaji
CCBRT ni NGO ambayo inafanya kazi kwa ukaribu sana na Serikali

Afya ya Uzazi

kwa sasa bado, Tunashirikiana na kituo cha karibu
Zote kasoro mama au mtoto akihitaji ICU
Gharama ya chini chumba ni 125,000 ya juu 500,000
wanataka majina? Dr. James, Dr. Peter, Dr. Mrema, Dr. Daniel, Dr. Issa & Dr. Brenda

Malipo

Inategemea na aina ya tatizo lako, inabidi uje umuone daktari kwanza kwa ajili ya uchunguzi halafu utapewa gharama.
Gharama zinatofautiana kulingana na aina ya kifaa kinachohitajika ni vizuri ukija kuwaona wataalamu ili uweze kupata ushauri wakitabibu.

Huduma ya Macho

Hapana, hii itategemea na idadi ya wagonjwa waliopo katika foleni ya upasuaji katika kipindi ulichokuja.
X